-
Maandalizi-
-
Kupika-
-
Walaji1
Ingredients
Directions
Chukua kikaango kidogo na ukiweke kwenye jiko lenye moto wa wastani, kisha acha kikaango kipate moto. Weka mbegu za ufuta mweupe kwenye hicho kikaango, kisha kaanga huku ukikoroga na kutikisa kikaango mara kwa mara kwa muda wa dakika 1, au hadi utakapo ona zimebadilika rangi na kuwa na rangi ya kahawia. Epua na uweke pembeni ili zipoe.
Chukua mashine ya kusaga (blender). Weka kwenye hiyo mashine ya kusaga, mbegu za ufuta mweupe ulizo zikaanga, maji ya moto, majani ya giligilani, karanga, Tamarind Paste, vitunguu swaumu, pamoja na chumvi, kisha saga hadi utalapo ona mchanganyiko huo umesagika vizuri na kuwa laini.
Ondoa mchanganyiko huo kutoka kwenye mashine ya kusaga, kisha uhifadhi kwenye chombo chenye mfuniko na kutumia kidogo kidogo kwenye chakula cha aina yoyote ile.
Leave a Review